.

Thursday, December 24, 2009

HIP HOP KING OF STAGE.

Huu mchongo unatokea pande za Kikosi cha mizinga sehemu ambayo Hip Hop inachukuwa nafasi yake.

Jamaa wameandaa tamasha la kumtafuta MC ambaye atavikwa taji lakuwa mfalme wa jukwaa katika muziki huu wa Hip Hop, Mpango mzima utakuwa tarehe moja ya mwaka mpya maeneo ni pale pale viwanja vya COCO BEACH na kiingilio ni buku tano tu na hii itakuwa ni nusu fainali na baada ya mshindi kupatikana siku hiyo ndio fainali yenyewe itatangazwa na mshindi atazawadiwa milioni mbili.

Kala Pina ameniambia sababu ya kufanya hivi ni kurudisha heshima ya muziki wa Hip Hop bongo na kuupa thamani muziki huu.

No comments:

Post a Comment

,