PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
...BATA NITE!!!
SAUZ...2010!!!
Friday, December 18, 2009
MR II KWENYE POWER JAMS EAST AFRICA RADIO.
Mkesha wa x-mass ndio atazinduwa albam yake ya VETO Sugu pia ana ndoto za kufunguwa Radio station ambayo itakuwa inacheza muziki wa kizazi kipya tu..!!!
Hapa akifafanuwa kiundani kuhusu uzinduzi wake wa albam yake ya VETO.
Sugu akiwa na Dj Mackey katika kipindi cha Power Jams.
Huu ndio mpango mzima sasa...!!!! Sugu pamoja na Dullah kwenye Power Jams.
Huyu ndio Sam mchizi anakamuwa show ya Power Jams East Afrika Radio.
Nimerejea "home". Heshima kwako Kaka Haya nimefurahi kurejea na kubambana na taswira za studio. Wengine huu ndio ULEVI wetu. Anyway Nimefurahi kusikia mengi kuhusu II na pia kusikiliza na kutazama video yake. Nasikitika kuwa kwa nyimbo nilizosikia sijaona nililotegemea. Ni jambo jema kuwa na "identity" katika muziki wako lakini kuna haja ya kuuboresha. Hata Burning Spear na Everton Blender wanaendelea kupiga miziki kwa namna waliyopiga miongo miwili ma zaidi iliyopita lakini bado wanaboresha kwa namna moja ama nyingine. Style yake imebaki kuwa ileile, utengenezaji wake umezidi kujikita kwenye vyombo visivyo halisi badala ya ala na hilo limemuongezea futi kadhaa katika kaburi la uhalisia. Najua atauza kwa kuwa "ana jina" lakini hatadumu kwa kuwa muziki hauna ubora.
Pia bado nina wasiwasi na MPANGO MZIMA wa kuibadili sanaa ya muziki wa kizazi kipya. Nadhani kunakuwa na "kelele" nyingi katika kufanya BIASHARA ilhali akili za wasanii ni za kituma zaidi. Naamini kuna haja ya kuacha KUKURUPUKA kusema tunataka mabadiliko kaika soko na hakimiliki wakati wasanii wenyewe wana akili za usaliti na utumwa. Hawajui kwanini wanafanya muziki na kwanini muziki liwe chaguo lao la maisha waishiyo. Wanaota kuliko kuishi na hiyo ni HATARI. Blessings Brother Tuonane "Next Ijayo"
nashukuru kaka kwa mchango wako na hii ni changamoto kwa wasanii wote wa hapa nyumbani mungu akuzidishie ndugu na akupe maisha marefu ili uweendelee kutoa changamoto ambazo zitasaidia kuusukuma mbele huu muziki wetu.
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
Nimerejea "home". Heshima kwako Kaka
ReplyDeleteHaya nimefurahi kurejea na kubambana na taswira za studio. Wengine huu ndio ULEVI wetu.
Anyway
Nimefurahi kusikia mengi kuhusu II na pia kusikiliza na kutazama video yake. Nasikitika kuwa kwa nyimbo nilizosikia sijaona nililotegemea. Ni jambo jema kuwa na "identity" katika muziki wako lakini kuna haja ya kuuboresha. Hata Burning Spear na Everton Blender wanaendelea kupiga miziki kwa namna waliyopiga miongo miwili ma zaidi iliyopita lakini bado wanaboresha kwa namna moja ama nyingine. Style yake imebaki kuwa ileile, utengenezaji wake umezidi kujikita kwenye vyombo visivyo halisi badala ya ala na hilo limemuongezea futi kadhaa katika kaburi la uhalisia.
Najua atauza kwa kuwa "ana jina" lakini hatadumu kwa kuwa muziki hauna ubora.
Pia bado nina wasiwasi na MPANGO MZIMA wa kuibadili sanaa ya muziki wa kizazi kipya. Nadhani kunakuwa na "kelele" nyingi katika kufanya BIASHARA ilhali akili za wasanii ni za kituma zaidi.
Naamini kuna haja ya kuacha KUKURUPUKA kusema tunataka mabadiliko kaika soko na hakimiliki wakati wasanii wenyewe wana akili za usaliti na utumwa. Hawajui kwanini wanafanya muziki na kwanini muziki liwe chaguo lao la maisha waishiyo. Wanaota kuliko kuishi na hiyo ni HATARI.
Blessings Brother
Tuonane "Next Ijayo"
nashukuru kaka kwa mchango wako na hii ni changamoto kwa wasanii wote wa hapa nyumbani mungu akuzidishie ndugu na akupe maisha marefu ili uweendelee kutoa changamoto ambazo zitasaidia kuusukuma mbele huu muziki wetu.
ReplyDelete