
Baada ya hilo zitagongwa kopo kutoka kwa Ma DJ wa EAST AFRICA RADIO, kiwanja ni kile kile cha kishuwa ni katika hotel ya MOVENPIC kuanzia saa 3 usiku na kiingilio ni buku kumi na tano tu!! (15,000).
Usiku wa PWAAA! umeletwa kwenu na BRAINSOR MUSIC pamoja na PLANET BONGO ya EAST AFRICA RADIO na TV.
No comments:
Post a Comment
,