.

Tuesday, December 8, 2009

TUNDA NA MADEE NDANI YA SOUTH AFRICA..!!

Jamaa wanatokea katika kundi la Tip Top Connection ambao wanafanya vizuri katika game la Bongo Flava, hapa namzungumzia Tunda Man pamoja na Madee wamesepa kuelekea South Africa kwa ajili ya kukamuwa show mbili.

Show ya kwanza itakuwa tarehe 11 Captown na ya pili itakuwa tarehe 12 Daban na wanategemea kurudi Bongo juma nne ijayo. Tunda pia alinijuza kuwa jamaa wa Textile Campany ndio wamesababisha mchongo huo.

No comments:

Post a Comment

,