Jamaa wanatokea katika kundi la Tip Top Connection ambao wanafanya vizuri katika game la Bongo Flava, hapa namzungumzia Tunda Man pamoja na Madee wamesepa kuelekea South Africa kwa ajili ya kukamuwa show mbili.
Show ya kwanza itakuwa tarehe 11 Captown na ya pili itakuwa tarehe 12 Daban na wanategemea kurudi Bongo juma nne ijayo. Tunda pia alinijuza kuwa jamaa wa Textile Campany ndio wamesababisha mchongo huo.
Waziri Nape asisitiza azma ya Tanzania Kujizatiti katika Zama za Kidijitali
katika Kongamano la Connected Africa Summit 2024, Nairobi
-
Katika hotuba muhimu aliyoitia kwenye Jukwaa la Mawaziri wakati wa
Kongamano la Connected Africa 2024 unaofanyika Nairobi, Kenya, Mheshimiwa
Nape Nnauye, W...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,