Msanii na mmiliki wa bendi ya B Band Banana Zoro atasepa nchini tarehe 28 ya mwezi huu kwenda MAPUTO kwenye tamasha la ktowa msaada linalofahamika UMOJA CONCERT.. mida mida kidogo nitakufahamisha zaidi.
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
9 hours ago
Am happy 4 u banana, hongera kwa kuwa na band nzuri iliyokamilika. Keep on being gud bwana n wishing u peaceful safari.
ReplyDelete