Kwanza watanzania walidata na goma ya Bep bep ya Malrow ambapo ilifanya poa sana baada ya muda kijana kutoka pande za Kariakoo,Ally Kiba akaja kuongeza ladha zaidi alipo achia ngoma yake ya USINISEME katika style hiyo hiyo ya kiduku akaibuka tena kijana kutoka Dhahabu record dully akawapa raha raia kwa ngoma yake ya SHIKIDE, Sasa swali linakuja nini maana halisi ya neno Shikide....???? ilikuwa hakuna wakujibu kwa usahihi zaidi ya Dully lakini mwisho wa siku mchizi naye hafahamu maana ya hilo neno soooo.... amewaachia uhuru raia kutoa maana ya neno hilo kulingana na mazingira husika kwa mfano mimi nitaitafsiri hivi.... 'duh... kweli mpango mzima full shikide' umenisoma au nimekuacha....????
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,