WAZIRI MKUU AKAGUA SHAMBA LA MKULIMA WA KAKAO, KYELA
-
Waziri Mkuu Kasssim Majaliwa leo Mei 12, 2024 ametembelea shamba la Mkulima
zao la Kakao Clement Msalangi lililopo kijiji cha Mababu, Wilayani Kyela
Mei 12...
27 minutes ago
THE BROTHERMAN??????????//// ASHHH, kweli kakosa washauri, hilo jina halina mvuto hata tone, mshikaji ajaribu kutafuta title nyingine watu hawahitaji wauza sura, kinachohitajika ni sanaa nayo huanzia kwenye jina na mengineyo, nani mwenye heshma zake umwambie twende kwenye THE BROTHERMAN BAND?
ReplyDeleteLook at Machozi Band, The B Band and even Kilimanjaro Band.
I can help u, on either SYKES BAND, STAR BAND, RAINBOW BAND, or even 'D TO THE S BAND'.
Ni ushauri tu, Lkn THE BROTHERMAN! Mmh,mmh!
Unajiita Handsome, kweli bongo watu hawalipi
ReplyDeleteMdau US
tunaomba utuwekee na kaka yako choster umo tumuone maana naye si handsome boy wa ilala. na ni mzuri na mnafanana saaaaana ivi ni nduguyo sijui maana hata hatujui wengine
ReplyDelete