Mimi kwa mtazamo wangu nahisi Professer Jay ni mwanamuziki ambaye ana tuzo nyingi zaidi, nilitimba nyumbani kwake na kukuta rundo la tuzo kutoka sehemu mbalai mbali na hii inamaanisha kwamba kaka mkubwa ni mwanamuziki mwenye mafanikio sana katika muziki.
Hizi ni baadhi ya tuzo ambazo kaka mkubwa anazimiliki kutokana na kazi nzuri aliyoifanya.
Professer Jay pia ni moja kati ya wanamuziki wa Hip Hop ambao wamepata nafasi ya kukamua katika show ya Hip Hop Night ndani ya Diamond Jubilee.
WAFANYABIASHARA, JAMII INAYOJIHUSISHA NA SEKTA YA MADINI WATAKIWA
KUHAKIKISHA WANATUMIA VIFAA VYENYE UBORA
-
Na Mwandishi wetu
Wafanyabiashara wa madini pamoja na jamii inayojihusha na sekta ya madini
wametakiwa kuhakikisha wanatumia vifaa vyenye ubora katika uch...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,