Sote tuna fahamu kuwa jumamosi hii kutakuwa na usiku wa Hip Hop pale Diamond Jubilee usiku ambao utahusisha wasanii wa Hip Hop kutoka hapa nyumbani na Ufaransa. Leo waandaaji walikutana na waandishi wa habari katiak ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo kwa ajili ya kuwapa mkakati mzima wa usiku huo.
Hawa ndio ma-dancer kutoka Ufaransa ambao watasababisha katika usiku huo wa Hip Hop pale Diamond Jubilee.
Muwakilishi kutoka EATV Josiah Murunga akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari.
Unaweza kumuita Mjombaa ama Mrisho mpoto huyu ni moja kati ya wasanii watakao kuwepo kutowa burudani.
MICHEZO NI AFYA, NI FURSA YA AJIRA - MAJALIWA
-
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani,
ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa mwilini.
“Kama mnavyofahamu, michezo ...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment
,