WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA MBEYA TULIA MARATHON 2024
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la
mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024 zilizoandaliwa na Taasisi Isiyo ya
Kiserikali ya...
43 minutes ago
Kuna ukweli mkubwa katika hili.
ReplyDeleteTunahitaji UMAKINI ILI KUWA NA UFANISI na haijalishi ni kazi gani. Tumekuwa na kasumba ya watu kuweka madaraja ya kazi ambazo zinastahili kuwekewa umakini na kuheshimika na nyingine wanazisharau. Hii si sahihi. Nililogundua ni kuwa kazi nyingi ama niseme zote zina umuhimu saaana na zikipewa umakini na ufanisi na heshima kama zinavyostahili, basi tutaona nchi na jamii yetu ikinyookewa zaidi. Mfano ni kazi ya uchomeleaji vyuma ambayo kwa Tanzania yangu ni kazi ya "kijiweni" lakini kwa hapa Marekani ni kazi inayoheshimika na kupewa hadhi ya juu na huifanyi kama hujawa CERTIFIED. Ni sawa na kazi ya uzoaji taka na hata Upishi.
Kwa hiyo nakubaliana nawe 100% kuwa KAZI YOYOTE YAHITAJI UMAKINI SANA ILI KUIFANYA KWA UFANISI
Nimefurahi kutembelea hapa baada ya kukuona kuleee kwa Da Aggie wa "Kiduchu"
Tupo PamoJAH
MZUKA SANA KAKA MKUBWA TUPO PAMOJA MZEE WA CHANGA MOTO NA NAAMINI UTAENDELEA KUTOWA CHANGAMOTO ILI KUONGEZA CHAHU YA MAFANIKIO YA KITU FULANI.. KARIBU SANA NA UNAKARIBISHWA TENA NA TENA NA HUU NDIO MPANGO MZIMA..
ReplyDelete