Mwanamuziki mkongwe Yvonne Chaka Chaka amechaguliwa kuimba wimbo utakao kuwa unatumika kama wimbo rasmi wa kombe la dunia litakalo fanyika mwakani nchini Afrika Kusini.
Wimbo huo utatumika zaidi katika kushangilia nchi kama Ghana na Cote d'Ivoire ambazo zimefuzu kuingia katika michuano hiyo.
ASKOFU MKUU WA KANISA ANGLIKANA CANTERBURY JUSTIN WELBY AWASILI ZANZIBAR
-
Kushoto ni Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby pamoja na Askofu Mkuu wa
Kanisa Anglikana Tanzania Maimbo Mndolwa.
*Atembelea maeneo yaliyoendes...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,