Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
-
Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wenye umri wa
kwenda shule mlo wa asubuhi kabla hawajaenda shule. Rai hiyo imetolewa na
Mkurugenzi...
25 minutes ago

Hey wadau!
ReplyDeleteNapenda kutoa pongezi za dhati kwa CPWAA, AMBAE PANDE ZA MBEYA ALIKUWA ANAJULIKANA KAMA CLAZY POWER.
NI KWAMBA MI BINAFSI NAMFAHAMU KITAMBO TOKA ENZI ZA MBEYA DAY SEC. KWA MAANA HIYO BASI NAMTAKIA MAFANIKIO SANA KWENYE GAME.
NA PIA WADAU KAMA EATV MUENDELEE KUSAPOTI SANAA NA WASANII ILI WAWE JUUUUU ZAAAAAAAAAAAAAAIIDII.
BIG UP DULLAH
N WA KINO
mzuka sana kaka nia nikuuwezesha muziki wetu uwende mbali zaidi..
ReplyDelete