MNZAVA AWASIHI MADIWANI NA WENYEVITI WA VIJIJI KUSHIRIKIANA KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
*Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timontheo Mnzava, amewataka
madiwani na wenyeviti wa vijiji kushirikiana kwa karibu katika kutatua
migogoro...
1 hour ago

Hey wadau!
ReplyDeleteNapenda kutoa pongezi za dhati kwa CPWAA, AMBAE PANDE ZA MBEYA ALIKUWA ANAJULIKANA KAMA CLAZY POWER.
NI KWAMBA MI BINAFSI NAMFAHAMU KITAMBO TOKA ENZI ZA MBEYA DAY SEC. KWA MAANA HIYO BASI NAMTAKIA MAFANIKIO SANA KWENYE GAME.
NA PIA WADAU KAMA EATV MUENDELEE KUSAPOTI SANAA NA WASANII ILI WAWE JUUUUU ZAAAAAAAAAAAAAAIIDII.
BIG UP DULLAH
N WA KINO
mzuka sana kaka nia nikuuwezesha muziki wetu uwende mbali zaidi..
ReplyDelete