MBUNGE ABOOD AKABIDHI MADAWATI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH, MIL. 28
KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MAZIMBU MKOANI MOROGORO.
-
Madawati yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Mil. 28 yamekabidhiwa katika Shule
ya Sekondari ya Mazimbu Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mjini kama
sehemu ya...
3 hours ago
Pole sana Lamar.
ReplyDeletePengine la kutambua ni kuwa haya madubwana (Kompyuta) huwa yanatibuka saana na kufuta karibu kila kilichopo. Na kwa kuwa Lamar ni mchapakazi mkubwa na anajua kuwa ana mali za watu ambao wanamtegemea kuwapa wakati fulani, ni vema akawa na BACK-UP ya kusaidia iwapo tatizo kama hili linatokea.
Akiwa na External Hard Drive ya telebytes kadhaa akawa ana-store kila anachotengeneza na kisha akimaliza anaweza kuhamishia kwenye CD ku-free up nafasi kwenye disk yake itamsaidia.
Hakuna lisilo na funzo, na naamini hili limekuwa funzo kwake na yawezekana limetokea wakati huu ambao hajawa na wateja wengi wanaotegemea kazi zao karibuni
POLE SANA Lamar na kuna njia ya kutatua hilo.
Pengine kuzuia lisitokee kwa mara ya tena ndio mafanikio.
Nelson Mandela alisema "The greatest Glory in living lies not in never falling, but in rising everytime we fall"
Blessings