Mama mzazi wa msanii wa muziki wa kizazi kipya picco aliye wahi kutamba na ngoma ya "kikongwe" enzi zile amefaliki dunia siku ya tarehe 16/10/09, Mama yake Picco alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya titi, Mama yake Picco amefariki akiwa Mpanda, Sumbawanga na mazishi yatafanyika huko huko, MPANGO MZIMA INAKUPA POLE SANA PICCO NA MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMENI.
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
11 hours ago
This comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDelete