.

Wednesday, May 26, 2010

BREEEKINGG NEEEEWWWWSSSS!!!!

Kocha wa Timu ya taifa ya Argentina,Diego Armando Maradona ameahidi kutembea ''kama alivyozaliwa'' kwenye mitaa ya Mji Mkuu wa Nchi hiyo Buenos Aries,kama timu yake itanyakua Kombe la Dunia mwaka huu huko Sauz' 2010

No comments:

Post a Comment

,