.

Tuesday, May 25, 2010

P-SQUARE,K N'AAN NDANI YA BET AWARDS 2010..!

...P-Square...Nigeria!

...K'Naan...Somalia!

...Estelle...UK!

Wakali P-Square toka "Naija" wamechaguliwa kuingia kwenye mchakato wa kutafuta tuzo ya wasanii bora wa kimataifa kwenye Tuzo Za 10 za BET (BET AWARDS 2010)

Wana watakua pia kundi moja na K'Naan,Estelle.Tuzo zitafanyika jijini Los Angeles-Marekani,tar 27 June na MC atakuaQueen Latifah.

No comments:

Post a Comment

,