.

Friday, May 21, 2010

..REST IN PEACE WALIOTUTOKA...MV BUKOBA!

Meli Ya MV Bukoba...ikizama Ziwa Victoria,Miaka 14 iliyopita!

Makaburi ya pamoja ya ndugu zetu...Igoma-Mwanza.

Mnara wa Kumbukumbu...

Ijumaa,tar 21 May,imetimia miaka 14 tangu itokee ajali ya MV Bukoba,tarehe kama hii mwaka1996 ktk Ziwa Victoria.Iliyoua Ndugu,Jamaa na Watanzania wenzetu zaidi ya 1,000 na kupotea kwa mali zao pia....REST IN PEACE...WOTE MLIOTUTOKA,MOURN TILL WE JOIN YOU!!!!

No comments:

Post a Comment

,