Mkongwe wa Reggae toka Jamaica,Don McCarlos AKA Don Carlos (Muasisi wa BLACK UHURU) atashuka kwa Kibaki,Kenya kupiga show kadhaa,mwezi huu tarehe 29 na 30,katika tamasha litakaloitwa SAWASAWA na litafanyika kwenye viwanja vya Kasarani...Pia mtu mzima CMB Prezzo nae amepata shavu kusimama na Don Carlos.
TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA
KIDIJITALI
-
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya
Chumba cha Kanzi Data, vifaa vya Teknolojia...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment
,