Mkongwe wa Reggae toka Jamaica,Don McCarlos AKA Don Carlos (Muasisi wa BLACK UHURU) atashuka kwa Kibaki,Kenya kupiga show kadhaa,mwezi huu tarehe 29 na 30,katika tamasha litakaloitwa SAWASAWA na litafanyika kwenye viwanja vya Kasarani...Pia mtu mzima CMB Prezzo nae amepata shavu kusimama na Don Carlos.
WAZIRI BASHE ABAINISHA MIKAKATI YA SERIKALI KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA
MKONGE
-
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amebainisha mikakati ya serikali
katika kuongeza uzalishaji wa zao la Mkonge kutoka tani 56,732.69 mwaka
2023/2024 had...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,