.

Thursday, May 27, 2010

REST IN PEACE!!!

....Siphiwo Ntshebe (Opera Singer) mwana alibakiza wiki 2 tu apige show ya ufunguzi kwenye Kombe la Dunia 2010,amefafiki dunia Juzi tar 25 May,baada ya kuugua ugonjwa wa uti wa mgongo (menengitis).Mzee Nelson Mandela ndio alimchagua ili apige mzigo huo.

No comments:

Post a Comment

,