
Na hii itakua ni tour yake ya kwanza kupiga kwa Obama tangu aanze game rasmi zaidi ya miaka 15 iliyopita,na ataanza kuwasha moto tarehe 4 July,Houston-Texas..wana wa kwa Obama watasikia live track kali za Hip Hop kuanzia Chemsha Bongo,Bongo-Dsm,Nikusaidiaje,Zali la mentali,Sauti ya Ghetto,Msilie na hits kibao....Hapo Vipi???..Hapo Sawaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...............!