.

Wednesday, June 9, 2010

KUNDI JIPYA LA WANAUME!!!!

Kundi jipya la Wanaume!

Kundi jipya liitwalo WANAUME limeundwa kutoka kwenye lile lililokua awali la TMK Wanaume Halisi.

Machizi wanaounda kundi hilo ni Kakaman,Juma Jazz,Mzimu,Rich One,Daz P na A Man na wamesharekodi track 3,Mapenzi kitu gani,Poa tu pamona na Mukide ambazo zitakua hewani hivi karibuni.

Kwasasa kuna makundi 3 ya Wanaume...yaani TMK Wanaume Family inayoongozwa na Mkubwa Fella,Wanaume halisi chini ya Juma Nature na la Wanaume.

.........KILA LA HERI WANAUMEEEEZ...!!!

No comments:

Post a Comment

,