.

Friday, June 4, 2010

DON CARLOS APIGA SHOW KALI KENYA

Don Carlos akikamua jukwaani!

Ma-Jah wa kenya mzuka umepanda!

Nyomi la kufa mtu...!

Don McCarlos au Don Carlos gwiji wa Reggae toka Jamaica ambaye pia ni muasisi wa Black Uhuru amepiga show kali na ya kukumbukwa nchini Kenya mwisho mwa mwezi uliopita.

Tamasha lilikua linaitwa SawaSawa na lilifanyika kwenye viwanja vya Kasarani na nyomi lilikua la kufa mtu...kuhusu kitu cha arusha...hapo no comment!

No comments:

Post a Comment

,