skip to main |
skip to sidebar
NAZIZI AKA MAMA NANILIII!!!!

Nazizi
Mwanadada Nazizi toka Kenya anayeunda kund ila Necessary Noise na Wyre,Pamoja na lile la East Africa Bashment Crewinasemekana amejifungua hivi karibuni baada ya kuolewa kwa siri kwa zaidi ya miaka 2 sasa huku siri hiyo ya kuolewa kwake ilikua inajulikana kwa watu wake wa karibu wa familia tu...!KILA KHERI SISTEE....MIAAAAAA!
No comments:
Post a Comment
,