pia hakuwaacha bure wabongo amewaachia track yake ambayo iko ktk albam yake ya pili ya akili yangu track inaitwa kilio changu. kwasasa mbdog yuko ktka hatua za kumalizia albam yake ya tatu na soon atatambulisha singo yake mpya ambayo amemaliza kurekodi usiku wa kuamkia tar 25. mbdogg anaashukuru mashabik wake wote wanaomsapot ktk game.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,