.

Wednesday, June 9, 2010

CONCERT YA KUIKARIBISHA KOMBE LA DUNIA KUPIGWA LEO!

Fifa World Cup

K'Naan-Somalia.

John Legend-Marekani.

Angelique Kidjo-Benin.

Hugh Masekela-South Africa.

Shakira-Colombia.

Black Eyed Peas-Marekani.

Wakali kibao toka pembe zote za dunia leo watapiga concert ya kukaribisha michuano ya 19 ya Kombe la Dunia nchini Afrika Kusini kwenye uwanja wa Orlando jijini Soweto.

Zaidi ya watu 30,000 wanatarajiwa kuhudhuria Concert hiyo ambayo wanamuziki K'Nann,Shakira,Angelique kidjo,John Legend,mkongwe Hugh Masekela,Black Eyed Peas na wengine kibao watapiga show kali.

No comments:

Post a Comment

,