.

Wednesday, June 30, 2010

MAMA NA MWANA !

Nazizi Hirji AKA Mama Tafari akiwa na mtoto wake wa kiume,Tafari baada ya kujifungua hivi karibuni....kushoto ni kama shemeji yetu ambaye jina kapuni,au nitamuuliza JahFaray kama kweli ndio huyu shemeji yetu!

SWALI LA KIZUSHI...Je mtoto Tafari nae atakua na DreadLocks kama Nazizi????!...Hongera JahFaray (mzee wa wali nazi) kwa kupata mjomba!!!

No comments:

Post a Comment

,