.

Thursday, June 24, 2010

REST IN PEACE MICHAEL JACKSON!!!

Leo 25 June 2010 imetimia mwaka 1 tangu mfalme wa Pop dunuani,Michael Joseph Jackson aiage dunia akiwa na miaka 50.

Mwana alianguka ghafla akiwa mazoezini akijiandaa na show yake ya "THIS IS IT" iliyokua ifanyike nchini Uingereza na madaktari walisema kutumia kwake madawa ya kutuliza maumivu ndiyo yaliyosababisha kifo chake na kupelekea daktari wake Conrad Murray kuingia matatani.

REST IN PEACE (KING OF POP) MICHAEL JACKSON!

No comments:

Post a Comment

,