.

Friday, June 11, 2010

HEKAHEKA ZA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO!!!

Shakira akiimba jana wimbo maalum wako Kombe la Dunia 2010,Time For Africa (WakaWaka)

Uwanja wa Orlando ambapo Sherehe za kukaribirisha kombe la dunia zilifanyika jana Soweto

Prezidaa Jacob Zuma wa Sauz akiwa na timu ya South Africa

Michuano ya 19 ya Kombe la Dunia 2010 inaanza leo kwa mara ya kwanza kufanyika barani Afrika nchini Afrika Kusini mpaka July 11,Mtanange unaanza leo kwa wenyeji Sauz kukipiga na Mexico Kwenye dimba la Soccer City mida ya saa 11 jioni.

GOD BLESS TIMU ZA AFRIKA...!

No comments:

Post a Comment

,