.

Tuesday, June 8, 2010

OLIVER N'GOMA AFARIKI DUNIA!

Marehemu Oliver N'goma AKA Noli.

Enzi za uhai wake akiwa jukwaani!

Mwanamuziki toka Gabon,Oliver N'goma amefariki dunia Jumatatu kwenye hospitali ya Omar Bongo jijini Libraville akiwa na miaka 51 kutokana na matatizo ya figo yaliyokua yanamsumbua kwa muda wa miaka 2.

Oliver N'goma alikua anajulikana kama "African King of Zouk" na nyimbo zake za zouk kama Bane,Adia,Muendu,Icole na nyingine kibao zilitamba afrika na duniani kote na alipiga show yake ya mwisho siku ya Jumapili wakati akizindua kitabu chake kinachohusu maisha yake na muziki kwa ujumla.

...REST IN PEACE,AFRICA KING OF ZOUK.....!!!!


No comments:

Post a Comment

,