.

Thursday, June 3, 2010

MHHH!...ZIMBABWE 0 - BRAZIL 3

Timu ya taifa ya Brazil ''El Selecao" imeifunga timu ya taifa ya Zimbabwe ''The Warriors'' kwa goli 3 bila mbele ya watazamaji 60,000 kwenye uwanja wa taifa jijini Harare kwa magoli ya Bastos dk. 41,Robinho dk. 44 na Elano dk,56.

Tarehe 7 June,Brazil itakua nchini Tanzania kucheza na Timu ya taifa ya Tanzania ''Taifa Stars" kwenye uwanja wa Taifa,Dsm

No comments:

Post a Comment

,