skip to main |
skip to sidebar
KAMA UNA MKWANJA...SEMA NA BONTA!
Mwana toka pande za A-Town na kundi la RiverCamp Soldiers,Bonta alipiga show pande za TCC Chang'ombe na kuimba na wana mwanzo-mwisho track yake ya Nauza Kura Yangu...Na kama una mkwanja anauza kura yake si unajia uchaguzi October????!!!
No comments:
Post a Comment
,