.

Monday, June 21, 2010

KAMA UNA MKWANJA...SEMA NA BONTA!

Mwana toka pande za A-Town na kundi la RiverCamp Soldiers,Bonta alipiga show pande za TCC Chang'ombe na kuimba na wana mwanzo-mwisho track yake ya Nauza Kura Yangu...Na kama una mkwanja anauza kura yake si unajia uchaguzi October????!!!

No comments:

Post a Comment

,