.

Thursday, June 10, 2010

SWALI LA KIZUSHI!!????

Mwana akimpa hug la nguvu KAKA.

Mwana akisherehekea baada ya kula shavu.

Askari wakiwa kazini....!

.....Usijiulize ilikuaje mpaka mwana Nagar Ally Kombo akaingia uwanjani na kumkumbatia mchezaji Kaka wa Brazil siku walipocheza na Taifa Stars kwenye uwanja wa Taifa wakati askari walikua kazini!!!...............

No comments:

Post a Comment

,