.

Wednesday, June 9, 2010

TUMSIKILIZE HUYU KIJANA SASA....!!!

Twahir AKA Sajna.

All the way toka Mwanza mpaka Dar namleta kwenu kijana Sajna ambaye yuko juu na single yake ya kwanza,IVETA.

Album yake ya kwanza itakua na nyimbo 10 na itakua kitaani baada siku chache zijazo na wana kama Belle 9,Linah,Josefly na wengine kibao wamepata shavu humo ndani.

Mzigo umepitia studio mbalimbali kuanzia Tetemesha Records,AB Records,Music Lab,Mzuka Records na A2P Records chini ya mikono ya ma-producer wakali kama Kid Bway,Benjamin,Duke,Amba na Sam Timba wamenyonga Beats.

....HOPE ITAKUA ALBUM KALI NA WADAU TUISUBIRI TUONEEEEEE!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment

,