.

Thursday, June 3, 2010

BEBE COOL AZINGUA ULAYA!

Bebe Cool na Wife wake Zuena

Bebe Cool toka Uganda jana karibu achezee kichapo toka kwa machizi wa nchini Denmark baada kuwasemea mbovu baada ya kupiga show akiwa kwenye wheelchair,kwanza alim-diss mchizi mmoja kuwa ni mjinga wala hana passport ya kuishi nchini humo na kufanya fans kum-mind na kudai kama vp kuwa yeye ni superstar wala hawawezi kumpiga.

Timbwili ilibidi liingiliwe na Polisi ili kurudisha hali ya amani na mwana anatarajiwa kuendelea kupiga show kesho tar 4 nchini Holland na tar 5 June nchini Ujerumani.

No comments:

Post a Comment

,