Rappa Chid Benz ambaye anawakilisha kundi la La Familia aka 'NWO' au New World Order yupo mbioni kuachia video za singles zake mpay. Katika video hizo, Chid amewashirikisha wasanii kutoka Kenya na Uganda. Mbali na hapo Chid pia ameandaa project mbali mbali atakazo shirikiana na wasanii kutokea nchini Rwanda na Burundi.
Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
-
Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wenye umri wa
kwenda shule mlo wa asubuhi kabla hawajaenda shule. Rai hiyo imetolewa na
Mkurugenzi...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment
,