Rappa Chid Benz ambaye anawakilisha kundi la La Familia aka 'NWO' au New World Order yupo mbioni kuachia video za singles zake mpay. Katika video hizo, Chid amewashirikisha wasanii kutoka Kenya na Uganda. Mbali na hapo Chid pia ameandaa project mbali mbali atakazo shirikiana na wasanii kutokea nchini Rwanda na Burundi.
TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA
KIDIJITALI
-
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya
Chumba cha Kanzi Data, vifaa vya Teknolojia...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment
,