.

Friday, January 15, 2010

BAADA YA MUDA MREFU CHIDI TENA KIDEONI..

Rappa Chid Benz ambaye anawakilisha kundi la La Familia aka 'NWO' au New World Order yupo mbioni kuachia video za singles zake mpay. Katika video hizo, Chid amewashirikisha wasanii kutoka Kenya na Uganda. Mbali na hapo Chid pia ameandaa project mbali mbali atakazo shirikiana na wasanii kutokea nchini Rwanda na Burundi.

No comments:

Post a Comment

,