Rappa Chid Benz ambaye anawakilisha kundi la La Familia aka 'NWO' au New World Order yupo mbioni kuachia video za singles zake mpay. Katika video hizo, Chid amewashirikisha wasanii kutoka Kenya na Uganda. Mbali na hapo Chid pia ameandaa project mbali mbali atakazo shirikiana na wasanii kutokea nchini Rwanda na Burundi.
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
,