Msanii nyota Tanzania, Banana Zorro amewaasa wasanii wenzake kuwa mwaka huu wa 2010, wajipange vilivyo ili walete vitu vipya kwa mashabiki wao.
Banana ameendelea kusema kuwa kwa sasa wasanii wanaotegemea waingie studio warekodi alafu mwisho wa siku waingie sokoni kuuza mwaka wa 2010 utakuwa mgumu sana kwao, kwa vile mazingira hayaonyeshi dalili yoyote ya mafanikio kwao.
HAYA SASA HUU NI WAKATI WA KUJIPANGA KWA WASANII WETU ILI KUTIMIZA MALENGO.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,