Isiaka Zayumba a.k.a Isiaka mc mchiz zamani alikuwa anafanya muziki wa kizazi kipya lakini kwa sasa yupo iringa kwaajili ya kutafuta maisha kwa style nyingine ya utangazaji ambapo anapiga mzigo katika radio ya Country fm.. mchiz kaona dah.... chede za radio pekee kama sio ishu hivi... soo.. ameamuwa kugeukia katika upande mwingine wa pili wa kutengeneza beats katika studio ya Timamu Records.
Pwani Yaendelea Kuzalisha Ajira Kumuunga Mkono Mhe. Rais
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amesema Mkoa wa Pwani
unaendelea kutekeleza vipaumbele vya Serikali kwa vitendo, hususan katika
eneo la uza...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment
,