Isiaka Zayumba a.k.a Isiaka mc mchiz zamani alikuwa anafanya muziki wa kizazi kipya lakini kwa sasa yupo iringa kwaajili ya kutafuta maisha kwa style nyingine ya utangazaji ambapo anapiga mzigo katika radio ya Country fm.. mchiz kaona dah.... chede za radio pekee kama sio ishu hivi... soo.. ameamuwa kugeukia katika upande mwingine wa pili wa kutengeneza beats katika studio ya Timamu Records.
DKT. TULIA AKOSHWA NA CRDB BANK MARATHON IKIKUSANYA BILIONI 2 KUSAIDIA AFYA
NA UWEZESHAJI JAMII
-
Dar es Salaam, 17 Agosti 2025 - Maelfu ya wakimbiaji na wapenda michezo
kutoka ndani na nje ya Tanzania wamejitokeza leo katika viwanja vya The
Green, Oy...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,