Isiaka Zayumba a.k.a Isiaka mc mchiz zamani alikuwa anafanya muziki wa kizazi kipya lakini kwa sasa yupo iringa kwaajili ya kutafuta maisha kwa style nyingine ya utangazaji ambapo anapiga mzigo katika radio ya Country fm.. mchiz kaona dah.... chede za radio pekee kama sio ishu hivi... soo.. ameamuwa kugeukia katika upande mwingine wa pili wa kutengeneza beats katika studio ya Timamu Records.
TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA
KIDIJITALI
-
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya
Chumba cha Kanzi Data, vifaa vya Teknolojia...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment
,