Isiaka Zayumba a.k.a Isiaka mc mchiz zamani alikuwa anafanya muziki wa kizazi kipya lakini kwa sasa yupo iringa kwaajili ya kutafuta maisha kwa style nyingine ya utangazaji ambapo anapiga mzigo katika radio ya Country fm.. mchiz kaona dah.... chede za radio pekee kama sio ishu hivi... soo.. ameamuwa kugeukia katika upande mwingine wa pili wa kutengeneza beats katika studio ya Timamu Records.
TRA YAPONGEZA MCHANGO WA WALIPAKODI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA
-
Songea – Ruvuma.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa takribani asilimia 70 ya
bajeti kuu iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment
,