Isiaka Zayumba a.k.a Isiaka mc mchiz zamani alikuwa anafanya muziki wa kizazi kipya lakini kwa sasa yupo iringa kwaajili ya kutafuta maisha kwa style nyingine ya utangazaji ambapo anapiga mzigo katika radio ya Country fm.. mchiz kaona dah.... chede za radio pekee kama sio ishu hivi... soo.. ameamuwa kugeukia katika upande mwingine wa pili wa kutengeneza beats katika studio ya Timamu Records.
ANGELLAH KAIRUKI ASHIRIKI KONGAMANO LA UCHAGUZI, AMANI NA DUA JIJINI DAR ES
SALAAM
-
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe.
Angellah Kairuki, ameshiriki katika Kongamano la Uchaguzi, Amani na Dua
lili...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment
,