
Daz alitoa wito kwa Watanzania kuepuka kuingizwa katika uhasama na wasanii wasiopenda amani ambao wataingia mikataba na baadhi ya vyama vya siasa kwa ajili ya kuhamasisha chuki baina yao na vyama vingine ama kundi la watu fulani.
kipindi cha kampeni kimefika na baadhi ya vyama vimekuwa vikipenda kuwatumia sana wasanii katika kampeni ila bado wasanii wasikubali kutumiwa kuvuruga amani ama kutumika bila kuwepo maslahi kwao.
No comments:
Post a Comment
,