Washikaji kutoka visiwani Zanzibar Off side trick wamelala mika kuwa baadhi ya Tv hapa bongo kuzuia kuchezwa kwa video yao ya wimbo wa Bata video ambayo imetengenezwa na kampuni ya Golden hrt ambayo inaogozwa na Abraham.
Wana wasema wamepata taarifa hizo kutoka katika vituo hivyo baadhi vya Tv na kuwaambia kuwa video yao haina maadili mazuri ya ki- Tanzania na huwezi kuitazama kama upo na familia yako, lakini wameniambia kuwa hawajapata taarifa rasmi kutoka kwa vyombo husika kama TCRA kuhusu video hiyo kuchezwa ama la.
Lakini wameamuwa kutengeneza video nyingine ya wimbo huo wa Bata na sasa wapo katika harakati za kukamilisha kichupa hicho kingine.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment
,