Mkali wa miondoko ya R&B Rihanna ameibuwa uvumi kuwa amenasa kimahaba kwa mchezaji wa baseball Matt Kemp baada ya wawili hao kuonekana wakiwasili Las Angeles baada ya kufanya tamasha la mwaka mpya katika Falme za Kiarabu.
Rihanna alifanya tamsha hilo la funga mwaka wiki iliyopita katika hotel moja huko Abu Dhabi na kwa mujibu wa mapaparazi walikuwa wameongozana na mchizi.
Tangu Rihanna atengane na Chris Brown Februari mwaka jana amekuwa akihusishwa kuwa na uhusiano na mastaa kadhaa akiwemo Justin Timberlake pamoja na mcheza filam Tristan WIlds , hata hivyo yeye amekuwa akikanusha.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,