Nadir Haroub alihakikisha anakomaa kiume ili Drogba asilete madhara zaidi.
Kipa Mwalami wa Taifa Stars alikuwa na kibaruwa kigumu kuhakikisha ulinzi wa goli letu unakuwa wa uhakika wakati wote.
Mchezo huo uliisha kwa Taifa Stars kufungwa goli moja na Ivory Coast goli lililofungwa na mshambuliaji hatari wa timu hiyo Didier Drogba.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment
,