Tangu siku ya Alhamis hali yangu kiafya ilikuwa haipo sawa na kikubwa zaidi ni malaria, baada ya kujihisi tofauti nikagunduwa malaria inaninyemelea ikanibidi ni wahi hospital na baada ya kupima nikakutwa na wadudu wawili.
ikabidi niazishiwe doz ya malaria na kwa sasa nashukuru Mungu naendelea vizuri, pia nitakuwa mchoyo wa shukrani kama sinto washukuru wale wote ambao walikuwa wakinipa pole katika kipindi hiko cha kuumwa ni Dj Choka, Moracka, Mangwea, Rado, Barut Boy, Dj AD na familia yangu nawashukuru sana na mungu awazidishie ASANTEN SANA.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
1 hour ago
Pole sana Kaka. Lakini twashukuru umeweza kurejea katika hatua ya kutujuvya maendeleo.
ReplyDeleteBasi uendelee kupona na kisha urejee "full" ndani ya MPANGO MZIMA wa PLANET BONGO.
Get well soon
Blessings