Mchiz ambaye mwanzo alikuwa katika kundi la Gangwe Mob na baadaye kijiunga na kundi la TMK WANAUME kabla ya kusambaratika na kuhama na Juma Nature sasa na amesepa tena na hayupo tena na kundi hilo.
Sababu kubwa iliyomfanya Luten kusepa ni mkwanja anasema haoni faida ya kuwa na kundi kwa sababu hakuna chochote anacho kipata sasa imebidi afanye kazi mwenyewe labda mafanikio yatakuja kwa njia hiyo.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,