.

Tuesday, January 19, 2010

DIAMOND RASMI KITAANI SIKU YA VALENTINE..

Bwa ndogo ambaye amefanya vizuri kwa kipindi hiki na song lake la KAMWAMBIE anaachia Albam yake rasmi siku ya Valentine, hii itakuwa tarehe 14/02/2010 hapa namzungumzia Naseeb abdul Juma a.k.a Diamond.

Albam hiyo yenye nyimbo kumi na mbili inaitwa KAMWAMBIE, wasanii walio pata shavu la kuwemo katika albam hiyo ni pamoja na Ngwair, Hemedy, Mabovu, Blue, Fatma na wasanii chipukizi.
Mzigo umekamilika katika studio tofauti ikiwemo Sharobaro Rec, 41 Rec, Fish Crub Rec, pamoja na Sei Rec. Jukumo lote la kusambaza albam hiyo imeachiwa kampuni ya FM WASAMAZAJI.

No comments:

Post a Comment

,