Mchiz ambaye mwanzo alianza na ku rap na baadaye akahamia katika upande wa production, kazi nyingi tu 2meshaziona ambazo mchizi amezitengeneza kupitia kampuni yake.
Huyu jamaa anaitwa Adili Mkwela baada ya kukaba katika upande wa video sasa m2 mzima anageukia upande mwingine wa pili ni katika movie kupitia production yake ile ile ya Chapakazi Filimz na tayari ameshatengeneza filam moja inaitwa Loleza ni filam mpya iliyochezwa na Mansu-li, Buff G na wengine wengi sooo...!!! tusubiri tuone...
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,