Msanii wa nchini Uganda, Jose Chameleone amechaguliwa kuwa mmoja kati ya wasanii watakao toa burudani siku ya ufunguzi wa wa kombe la dunia nchini Afrika Kusini.
Chameleone ambaye atawakilisha Afrika mashariki mwezi june, inasemekana ameingia mkataba wa dola 50,000 kwa ajili ya safari hiyo Afrika Kusini.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment
,