.

Monday, January 25, 2010

CHAMELEONE KUIWAKILISHA AFRIKA MASHARIKI KOMBE LA DUNIA..

Msanii wa nchini Uganda, Jose Chameleone amechaguliwa kuwa mmoja kati ya wasanii watakao toa burudani siku ya ufunguzi wa wa kombe la dunia nchini Afrika Kusini.

Chameleone ambaye atawakilisha Afrika mashariki mwezi june, inasemekana ameingia mkataba wa dola 50,000 kwa ajili ya safari hiyo Afrika Kusini.

No comments:

Post a Comment

,