Unamkumbuka Man x mchizi aliyekuwa anafanya poa sana katika muziki wa kikzazi kipya kipindi hiko jamaa anatokea Temeke na hatuja msikia kwa muda mrefu sana katika muziki huu.
Lakini kwa sasa ameamuwa kurudi rasmi na kujiunga rasmi na kundi la TMK MAJITA ambapo kwa sasa wapo mbioni kutoa albam yao paomoja singo itakayo rudisha rasmi kundi hilo katika game ya bongo flav.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
58 minutes ago
underground....LOL
ReplyDelete