
Nyandu amesema kabla ya kuachia albam hiyo zitaanza ngoma mbili moja audio na nyingine video zote kwa wakati mmoja, ya Video inaitwa WANA NIWINDA ambayo amegawa shavu kwa Chid benz, Mbamba na Beka 'B' na ngoma nyingine ya Audio inaitwa SIKATI TAMAA ndani yake unagumiana na Geez mabov, Blue na Beka 'B' na ngoma zote hizi zimegongwa na maneke
No comments:
Post a Comment
,