Inasemekana kuwa wasanii nyota nchini Uganda Juliana Kanyamozi na Iryn Namubiri wanatarajia kukamua katika ngoma moja inayo husu siku ya wapendanao, Valentines Day.
Wawili hao ambao walikuwa hawapatani siku za nyuma, inasemekana kuwa kwa sasa wanaongea na wanatarajia kurecord wimbo huo ambao umeandikwa na Hope Mukasa.
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment
,