.

Friday, January 15, 2010

JULIANA KANYAMOZI NA IRYN NAMUBIRU SASA MPANGO MZIMA..

Inasemekana kuwa wasanii nyota nchini Uganda Juliana Kanyamozi na Iryn Namubiri wanatarajia kukamua katika ngoma moja inayo husu siku ya wapendanao, Valentines Day.

Wawili hao ambao walikuwa hawapatani siku za nyuma, inasemekana kuwa kwa sasa wanaongea na wanatarajia kurecord wimbo huo ambao umeandikwa na Hope Mukasa.

No comments:

Post a Comment

,