ikabidi niazishiwe doz ya malaria na kwa sasa nashukuru Mungu naendelea vizuri, pia nitakuwa mchoyo wa shukrani kama sinto washukuru wale wote ambao walikuwa wakinipa pole katika kipindi hiko cha kuumwa ni Dj Choka, Moracka, Mangwea, Rado, Barut Boy, Dj AD na familia yangu nawashukuru sana na mungu awazidishie ASANTEN SANA.
Wakazi wa Lindi Waendelea kusherehekea Mwaka Mpya na Makapu ya Vodacom.
-
Afisa wa Vodacom Feruzi Mlaponi ( Kulia) akiwa na mteja wa kampuni hiyo
Said Kikotokeki, baada ya kumkabidhi kapu la Vodacom. Tukio hili
limefanyika ikiwa ...
1 hour ago

Pole sana Kaka. Lakini twashukuru umeweza kurejea katika hatua ya kutujuvya maendeleo.
ReplyDeleteBasi uendelee kupona na kisha urejee "full" ndani ya MPANGO MZIMA wa PLANET BONGO.
Get well soon
Blessings