ikabidi niazishiwe doz ya malaria na kwa sasa nashukuru Mungu naendelea vizuri, pia nitakuwa mchoyo wa shukrani kama sinto washukuru wale wote ambao walikuwa wakinipa pole katika kipindi hiko cha kuumwa ni Dj Choka, Moracka, Mangwea, Rado, Barut Boy, Dj AD na familia yangu nawashukuru sana na mungu awazidishie ASANTEN SANA.
TUME YA UCHAGUZI YAHITIMISHA MAFUNZO YA WASAIDIZI WA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI
-
Kamishna wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Mhe. Awadh Ali Said, akizungumza
wakati wa kufunga mafunzo.
Wasimamizi wasaidizi wa majimbo ya uchaguzi Zanzib...
4 hours ago
Pole sana Kaka. Lakini twashukuru umeweza kurejea katika hatua ya kutujuvya maendeleo.
ReplyDeleteBasi uendelee kupona na kisha urejee "full" ndani ya MPANGO MZIMA wa PLANET BONGO.
Get well soon
Blessings