ikabidi niazishiwe doz ya malaria na kwa sasa nashukuru Mungu naendelea vizuri, pia nitakuwa mchoyo wa shukrani kama sinto washukuru wale wote ambao walikuwa wakinipa pole katika kipindi hiko cha kuumwa ni Dj Choka, Moracka, Mangwea, Rado, Barut Boy, Dj AD na familia yangu nawashukuru sana na mungu awazidishie ASANTEN SANA.
Bridging the Gap: JAB to Partner with Bloggers Network on Training
-
*Tanzania Bloggers Network (TBN) Chairman Beda Msimbe (left) meets with the
Journalism Accreditation Board’s Acting Director General, Advocate Patrick
Ki...
58 minutes ago

Pole sana Kaka. Lakini twashukuru umeweza kurejea katika hatua ya kutujuvya maendeleo.
ReplyDeleteBasi uendelee kupona na kisha urejee "full" ndani ya MPANGO MZIMA wa PLANET BONGO.
Get well soon
Blessings