Tangu siku ya Alhamis hali yangu kiafya ilikuwa haipo sawa na kikubwa zaidi ni malaria, baada ya kujihisi tofauti nikagunduwa malaria inaninyemelea ikanibidi ni wahi hospital na baada ya kupima nikakutwa na wadudu wawili.
ikabidi niazishiwe doz ya malaria na kwa sasa nashukuru Mungu naendelea vizuri, pia nitakuwa mchoyo wa shukrani kama sinto washukuru wale wote ambao walikuwa wakinipa pole katika kipindi hiko cha kuumwa ni Dj Choka, Moracka, Mangwea, Rado, Barut Boy, Dj AD na familia yangu nawashukuru sana na mungu awazidishie ASANTEN SANA.
RAIS SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA
AFRIKA NCHINI UFARANSA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na
Wenyeviti Wenza, Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Jonas Gahr Støre wa pili kutoka ...
28 minutes ago
Pole sana Kaka. Lakini twashukuru umeweza kurejea katika hatua ya kutujuvya maendeleo.
ReplyDeleteBasi uendelee kupona na kisha urejee "full" ndani ya MPANGO MZIMA wa PLANET BONGO.
Get well soon
Blessings